Friday, February 24, 2012

Amani Bandia Tanzania


King'amuzi Halisi

Ni wakait mwingine tunapo kutana tena, kwa nia moja tu ya kujulishana, kuburudishana na kuelimishana juu ya mambo mbalimbali yanayotuhusu. Kama mjuavyo kuwa kulikuwa na maandamano makubwa huko Songea na kwa kutotumia akili polisi waliwafyatulia watu risasi za moto, hivyo kusababisha watu wawili kupoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa. Hili si jambo la kujivunia hata kido!

Kwa wenye akili timamu watakubaliana na mimi kuwa hakuna amani Tanzania!

Kila kukicha vyombo vyetu vya habari hasa vinavyomlikiwa na serikali vinatuhubiria kuwa Tanzania ni nchi yenye amani.

Je hii ndio amani tunayohubiriwa kila siku?

Tafakari!

No comments:

Post a Comment